Nyumba Inauzwa Ipo Dodoma Uzunguni Bei Chee Kabisa...



BEST DALALI anakutangazia kuna Nyumba inauzwa ipo Dodoma maeneo ya Uzunguni, Nyumba inaukubwa wa mita 51 kwa 28 sawa na Sq.m 1,428, Nyumba haina mgogoro ipo Full Document, Bei Milion 200, wasiliana nasi kwa maelezo zaidi. 0657 16 82 72 / 0689 95 33 35

Pia kama una Nyumba ya kupangisha au kuuza au Kiwanja au Shamba unataka kuuza au kununua usipate tabu BEST DALALI tupo kwa ajili yako.  piga simu kwa mawasiliano zaidi 0657 16 82 72 / 0689 95 33 35

Mikoa tunayo ihudumia ni Dar es salaam, Dodoma, Arusha na Mwanza


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad