Rais Magufuli Akutana na Wahandisi na Wadau wa Ujenzi

Rais Dkt. John Magufuli leo Sept. 4, 2019 amekutana na wahandisi na wadau wa sekta ya ujenzi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam, mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta hiyo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad