Rosa Ree Aibukia Uganda, Afanya Collabo Hii Kubwa na Spice Diana Itazame Hapa


Mwanamuziki Rosa Ree Aibukia Uganda, Afanya Collabo Hii Kubwa na Spice Diana ambaye ni Mwanamuziki A List Kutoka Pande hizo

Rosa Ree week nzima kwa sasa yupo Uganda na ametuhabarisha kuwa ana Collabo kama tatu hivi na wanamuziki kutoka huko akiwemo Apass, Fik Famaika na Ghetto Kids kwa ajili ya kukuza muziki wake...

Itazame VIDEO yake Mpya Hapa:

Aibukia Uganda, Afanya Collabo Hii Kubwa na Spice Diana Itazame Hapa:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad