TANZIA: Waziri wa Kikwete Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete, na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Simu Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omari Rashid Nundu (71) amefariki dunia wakati akiwa njiani akipelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa ajili ya matibabu.

Taarifa iliyotolewa leo mchana na Kitengo cha Mawasiliano cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imeeleza kuwa, Nundu alifikishwa hospitalini hapo kwa gari binafsi la kubeba wagonjwa.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad