Yanga Yamtangaza Afisa Habari Wake



Klabu ya Yanga, leo Septemba 19, 2019 imemtangaza rasmi ndugu Hassan Bumbuli kuwa Afisa Habri na mawasiliano wa klabu hiyo.

Taarifa hiyo iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Yanga, Dismas Ten, imesema kuwa Mwenyekiti wa klabu, Dkt. Mshindo Msolla amemteua Hassan Bumbuli kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji.

Aidha katika hatua nyingine, Dkt. Msolla pamoja na Kamati ya Utendaji wamemtangaza rasmi ndugu Antonio Nugaz kuwa Afisa Mhamasishaji wa klabu hiyo.

Soma taarifa rasmi ya klabu hapa chini.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad