Je unafanya Mazoezi Kupunguzwa Uzito? Wanasayansi Wanasema Achana na Hiyo Kazi Unapoteza Muda Wako Bure.


Je wewe ni muumini wa mazoezi katika kupunguza uzito au unene uliopitiliza?(mimi sio), basi unashauriwa kuachana na huo utaratibu maana unakula muda wako bure, unashauriwa kuangalia chakula chako unachokula zaidi.

Pamoja na kua ni wataalam wa miili ya binadam wanashauri zaidi aina ya mlo unaokula ndio uangaliwe zaidi, ni jambo la akili ya kawaida kabisa(common sense) kua kilichokufanya uongezeke uzito mdicho kitakusababisha upungue uzito, kama umeongezeka uzito kwa sababu ya kufanya mazoezi, basi punguza mazoezi ili upungue, hvyo hvyo kama chakula ndio kimekufanya uongezeke hxito basi punguza chakula upungue, just common sense.

Utafiti huo umechapishwa katika jarida la British Journal of medicine and sports.

Exercise Can't Save Us: Our Sugar Intake Is The Real Culprit, Say Experts

Ni jambo la kawaida la kuelewa kua chakula kinafanya mwili ufanye shughuli zake, chakula kilichozidi mwilini hua mwili unakibadili kua mafurta kwa ajili ya siku za mbele imitokea upungufu kiweze kutumika. Kama chakula unachokula kinatumika chote mwilini basi sio rahisi uongezeke uzito kupitiliza.

Mwaka flani nilikua nimeongezeka sama uzito, watu wakawa wananishauri nifanye mazoezi huku blindly wakisahau kunishauri kuangalia chakula, nikafanya kama mwezi, nikitoka mazoezini nakula kama kawaida, sikuona matokeo, ikabidi nijiongeze kwenye chakula, nikapunguza food intake yangu kwa almost 50%, mwezi mmoja tu kila mtu akaniuliza nimefanyaje.

Lose weight in the kitchen and get fit amd inshape in the gym.

Ila mazoezi ni zaidi ya kupunguza uzito,
Mazoezi yanasaidia kuimarisha moyo uwezi kuimarisha moyo kwa kula!!!
Kwenye mazoezi unatoa jasho,uchafu nje ya mwili,

Jasho haliwezi kutoka kwa kula!!
Hata ule dona gumu kama chuma na maharagwe!
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad