Kassim Majaliwa Akutana na Rais Putin wa Urusi


WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaiana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika hafla ya kuwakaribisha Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka mataifa ya  Afrika  wanaoshiriki katika Mkutano baina ya Urusi na Afrika unaofanyika  Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad