Mtoto Azaliwa Baada ya Wazazi Wake Kufariki Miaka Minne Nyuma

Katika hali ambayo imewashangaza watu wengi, inaripotiwa kuwa huko nchini China mtoto amezaliwa baada ya wazazi wake kufariki miaka minne iliyopita.

Hii imewezekana kutokana na mwanamke mmoja kupandikizwa kidaktari mbegu na yai vya wazazi hao ili abebe mimba hiyo.

Mwaka 2013 wazazi hao walitoa mayai hayo yaliyogandishwa kwa matumaini ya kupata mtoto kwa kupitia mfumo wa IVF lakini bahati mbaya walipata ajali kabla ya mayai hayo kutumika.

Kabla ya kufariki wawili hao walitoa ruhusa ya mayai hay
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad