Rais Magufuli, Mkewe Wajiandikisha Kupiga Kura Dodoma


RAIS  John  Magufuli  na mkewe,  Janeth Magufuli, wamejiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 .


Wamejiandikishia Chamwino mkoani Dodoma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad