Twiga Stars yajiandaa kutetea ubingwa wa CECAFA

Timu ya Taifa ya Tanzania ya wanawake (Twiga Stars) imeendelea na maandalizi ya mashindano ya CECAFA kwa Wanawake  yatakayofanyika nchini humo kuanzia Novemba 16-28 mwaka huu.

Michuano hiyo inayoshirikisha Nchi za afrika mashariki na kati,inaandaliwa na Baraza la vyama vya soka la nchi za Afrika mashariki na kati (CECAFA).

Tanzania itaanza michuano hiyo kwa mara ya kwanza huku timu yake ya taifa Twiga Stars ikiwa bingwa mara mbili mfululizo, ambapo kwa mara ya kwanza michuano hiyo ilifanyika nchini Uganda na mwaka uliofuata Rwanda walikua wenyeji.

Patrick Aussems aundiwa mkakati kuhama Simba
Safari ya mafanikio ya Twiga Stars Ilianza chini ya kocha sebastian nkoma, pale walipolichukuwa taji la michuano hiyo mwaka 2016 nchini Uganda,na sasa Timu hiyo ipo chini ya Kocha Bakari shime,na wachezaji wa Timu hiyo wametamba Kulichukuwa kwa mara ya Tatu Kombe hilo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad