Arsenal yamfuta kazi Kocha Mkuu Unai Emery



UNAI Emery aliyekuwa kocha mkuu wa Arsenal amepigwa chini ndani ya kikosi hicho baada ya kudumu nacho kwa muda wa miezi 18 akiwa kazini.

Arsenal imefikia uamuzi huo baada ya jana kupigwa na Frankfurt bao 2-1, kwa mchezo wa saba mfululizo bila ushindi (sare 5 na  vipigo 2).
 
Arsenal imemtangaza Freddie Ljungberg kuwa kocha wa muda na kurithi mikoba ya Emery.
Visit website

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad