BREAKING NEWS: Uongozi wa Yanga umeamua kuachana na Kocha Mkuu Mwinyi Zahera


BREAKING NEWS: Uongozi wa Yanga umeamua kuachana na Kocha Mkuu Mwinyi Zahera na nafasi yake imechukuliwa na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Ben Mwalala.

Mwalala anatua Yanga akitokea Bandari FC ya Kenya.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad