DARUSO watoa siku moja kwa wauza vyakula UDSM wapunguze bei



Jumuiya ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) imetoa siku moja kwa watoa huduma za vyakula kupunguza bei za vyakula zilizopandishwa kiholela.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jana na jumuiya hiyo, Imeeleza kuwa vyakula vilivyopanda bei ni wali maharage na chips.

DARUSO wamesema endapo watoa huduma hao watakaidi agizo lao, ustaarabu mwingine utatumika.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad