Kasi ya Maambukizi ya VIRUSI vya Ukimwi Mkoani Tanga Yapungua



Kasi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa UKIMWI katika Jiji la Tanga yameshuka kutoka asilimia 5 ya 2017 hadi asilimia 2.2 Julai 2019

Mratibu wa UKIMWI Jijini Tanga, Mosses Kisibo amesema kupungua huko kunatokana na hamasa ya Elimu ya Upimaji wa Hiari waliyoitoa kwa jamii kuanzia ngazi ya shule za msingi

Kutokana na Elimu hiyo, sasa kasi ya watu kujitokeza kupima imeongezeka kutoka watu 51,344 mwaka 2017 hadi kufikia watu 66,308 mwaka 2018

Akiongelea uanzishaji wa dawa za kufubaza virusi vya ugonjwa huo, alisema kuwa wamefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 91 kuwaingiza waathirika katika matumizi ya dawa za ARVS
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad