Liverpool Hatarini Kumkosa Mohamed Salah Mwanzoni Mwa Msimu 2020-21


Klabu ya Liverpool inaweza kumkosa nyota wao Mohamed Salah mwanzoni mwa msimu 2020-21 baada ya timu ya taifa ya Misri kufuzu kucheza Olimpiki 2020.

Timu ya taifa ya Misri chini ya miaka 23 imefanikiwa kufika fainali ya michuano ya AFCON U23 na hivyo kupata nafasi kushiriki Olimpiki 2020 jijini Tokyo.

Michuano hiyo itachezwa kuanzia Julai 22 mpaka Agosti 8 mwakani.

Misri itaruhusiwa kuchukua wachezaji watatu juu ya umri wa miaka 23 na Mohamed Salah ni moja ya wachezaji waonaotajwa wanaweza kuwepo katika kikosi hicho
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad