Picha: Hiki Ndicho Kilichomkuta Mchezaji Huyu Maarufu wa Simba SC


Mlinzi wa pembeni wa Simba Sports Club na Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ hii leo amesherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa sambamba na wachezaji wenzake.

Kwenye furaha hizo za kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, Zimbwe Jr amejikuta akiyakoga matope kutoka kwa baadhi ya nyota wenzake ambao alikuwa nao.

Katika kusherehesha tukio hilo klabu yake ya Simba iliandika kuwa sasa ni zamu yake maana kwa muda mrefu amekuwa akiwashughulikia wenzake tu.

”Baada ya kuwashughulikia wenzake kwa muda mrefu, leo imekuwa zamu ya Mohamed Hussein. Shughuli imefana sana ” Imeandika Simba SC.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad