Breaking News: Basata Wamfungulia Msanii Rosa Ree Kufanya Kazi za Muziki


Baraza la Sanaa Tanzania "Basata" Wamempunguzia Adhabu msanii Rosa Ree Baada ya Kufungiwa miezi Sita asifanye kazi kutokana na Video isiyo maadili

Kutokana na barua aliyoandikiwa Rosa Ree kuanzia leo ameruhusiwa kujishughulisha na kazi yake ya muziki akiwa anatakiwa kulipa faini ya shiling milion 2 Pekee


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad