Diamond Platnumz Kuwa Macho Sana na Mtiga Abdallah wa THE STORY BOOK



Ndani ya Wasafi Fm Diamond Platnumz ameibua vipaji vingi sana na amefanikiwa kuajiri watu wengi ambao wanalipwa vizuri tu kama wakina Kumwembe, Kitenge na wengineo.

Lakini sijui kama Diamond ashawahi kukaa chini akafuatilia kazi anazozifanya huyu kijana wake Mtiga Abdallah pale Wasafi Fm.

Ni kijana mdogo sana lakini ana kipaji cha ajabu, ameanza kujizolea umaarufu kutokana na kipaji chake cha kusimulia hadithi za kusisimua.



Hiyo ni video mojawapo ya kazi anazofanya huyu kijana japo hushirikiana na wengine kuandika na yeye huadithia lakini ana kipaji cha pekee sana.

Ni muda sasa kwa Chibu kumuangalia kwa jicho la pili huyu kijana la sivyo media nyingine watampandia dau.

Tazama Baadhi ya Kazi zake hadithi za kusisimua

>>Maajabu ya Msitu wa AMAZON / Unatisha / Miti Inatembea / Nyoka wa Ajabu

>>Bahari ya Shetani: Nyumba ya Lucifer/Kwenye Vimbunga na Upepo Mkali/ Walipokufa Maelfu ya Watu

>>Kisa Cha SODOMA..Mungu Aliwashushia Mvua ya Moto Kwa Kuendekeza USHOGA...Walitaka Kuwabaka Malaika

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad