Gigy Money "Mimi Nimezaa Lakini Naenjoy Maisha Sana Napambana Mwenyewe, Kuzaa sio Kuzeeka""


Mimi nimezaa nimezeeka? siyo kwamba mwanamke akizaa anazeeka, hiyo inatokana na wewe mwenyewe unavyojitunza. Kwa wale waliojaaliwa kuzaa, wazae tu! Hawanioni mimi sasa hivi ninavyoinjoi na Mayra wangu? Haijalishi anatunzwa na baba au hatunzwi, napambana mwenyewe,” Gigy ameliambia Ijumaa
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad