Jaji Mkuu Tanzania Ataka WATU Wasikamatwe Bila Upelelezi Kukamilika


''Mahakama hazipaswi kulaumiwa kwa msongamano wa watu magerezani bali wapelelezi wa kesi. Wapelelezi huchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi. Na sababu za wao kutumia muda mrefu wakati mwingine hazina mashiko. Watu wasikamatwe kabla upelelezi kukamilika,''Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad