Maskini..Golkipa Juma Kaseja Alazwa na Kufanyiwa Upasuaji

Maskini..Golkipa Juma Kaseja Alazwa na Kufanyiwa Upasuaji

Inadaiwa kuwa golikipa wa KMC na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Juma Kaseja amefanyiwa upasuaji wa goti usiku wa jana, baada ya kuwa na jeraha kwa wiki kadhaa.

Kaseja inaelezwa kuwa aliumia wakati alipokuwa katika majukumu ya timu ya taifa ila hakufanyiwa upasuaji mapema kutokana na Dr kuwa alimpangia tarehe maalum kufanya upasuaji huo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad