Kutana na MWANAUME Ambae Ushuzi Wake Unaua Mbu

Huyu ndie binadamu ambaye ushuzi wake unauwa mbu.. anaitwa Joe Rwamirama, ni mwanaume mwenye miaka 48 raia wa Uganda. Unaambiwa akijamba mbu wote walioko jirani yake hadi umbali wa kilomita 9 wanakufa..

Mwenyewe anakuambia hata nzi hajawahi kumsogelea..

Kwa sasa ameajiriwa na kampuni moja ambayo inataka kutengeneza dawa ya mbu kwa kutumia ushuzi wake...⁣⁣⁣

Kwasasa wanatafiti ni kemikali gani iliyopo kwenye ushuzi wake ambayo inaua mbu ili waitumie kutengeneza dawa ya kuua mbu.

Unaambiwa kijijini kwake hakuna mbu wala mtu ambaye amewahi kuugua malaria

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad