Msanii Idris Aingilia SIASA Awatupia Kijembe Jeshi la Polisi


Msanii wa vichekesho na mshindi wa mashindano ya Big Brother Afrika 2014, Idris Sultan, amesema sakata la Ofisa wa Kitengo wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti, linatia doa kwa jeshi la polisi.

Idris alisema wengi husema
 ” Naingia kwenye system ili niibadili 10% ndio wanafanikiwa kuwa na msimamo,” aliandika katika ukurasa wake wa Twitter

Aliongezea
” Naelewa ugumu wa kuuvunja mkono unaokulisha ila elewa huo mkono unaweza kukulisha sumu pia,”.

Msanii huyo alisema hivi” Mkuu wa Polisi wewe unajua ustadi mkubwa sana, watoe wasio na busara ofisini kwako. La Tito ni doa,”.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad