Napoli Yamtimua Kocha Ancelotti Kabla ya Kumvaa Mbwana Samatta na Kumchapa 4


KLABU ya soka ya Napoli ya Italia imemfukuza kazi kocha wao Carlo Ancelotti ikiwa ni chini ya masaa matatu baada ya kuiongoza timu hiyo kuingia hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Ancelotti ameiongoza Napoli kwa miezi 19, kabla ya kushinda mechi ya jana 4 – 0 dhidi ya Genk ya Ubelgiji, walikuwa wamecheza mechi tisa zilizopita bila ya kushinda kwenye mashindano yote.

Mwezi uliopita aliingia kwenye mgogoro na Rais wa Napoli baada ya kukataa kuwa na kambi ya mazoezi ya muda mrefu na Wachezaji.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad