Nyumba Nzuri Inauzwa KISASA Dodoma


Best Dalali anakutangazia Nyumba inauzwa ipo Dodoma maeneo ya kisasa, Nyumba inavyumba 4 kimoja Master, Nyumba ina fensi, Nyumba ya makazi na Biashara.

Nyumba ina ukubwa wa Sqm 500 Bei milion 150,000,000 maongezi yapo. Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi. 0657 16 82 72 / 0689 95 33 35

Pia kama una Nyumba ya kupangisha au kuuza au Kiwanja au Shamba unataka kuuza au kununua usipate tabu BEST DALALI tupo kwa ajili yako.  piga simu kwa mawasiliano zaidi 0657 16 82 72 / 0689 95 33 35

Mikoa tunayo ihudumia ni Dar es salaam, Dodoma, Arusha na Mwanza.




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad