ROMA Afunguka Tetesi za Kutishiwa Pamoja ishu ya Kuhamia Marekani Kisa Wimbo ‘Naitwa Roma’ (Audio)


Msanii wa muziki, Roma Mkatoliki ambaye kwa sasa yupo Marekani kwaajili ya mapunziko baada ya kuachia tu wimbo wake ‘Naitwa Roma’, amefunguka kuzungumzia tetesi za kwamba aliamua kukimbia nchini baada ya kuachia wimbo huo kwa kuogopa matatizo.

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad