ROMA "Situmwi na Wapinzania...Barabara Hazina Lami Naziona, Migogoro ya Korosho Naiona Sasa Utasemaje Natumwa"


"Mimi ni Mwanaharakati sina Chama nipo kati kati sipendi watu wanavyosema kuna watu wananituma ili niiembe nyimbo za kiharakati, Migogoro ya korosho naiona, naona hii Barabara haina lami, Bunge naliona, sasa nitatumwaje na mtu kuongea wakati mimi mwenyewe naona kwa macho yangu?"-Roma Zimbabwe.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad