ACT kupinga Mahakamani Serikali kufunga laini za simu


Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa iwapo Serikali itaendelea na msimamo wake wa kuzima laini zote ikiwemo za wananchi ambao hawajapata vitambulisho vya uraia, kitenda kupinga hatua hiyo Mahakamani.

Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Ado Shaibu amesema watuchukua uamuzi huo kwani wanaamini kuwa wananchi hawapaswi kuadhibiwa kwa makosa ya NIDA kushindwa kuwapatia vitambulisho ambavyo vitawawezesha kusajili laini zao…, Bofya hapa kutazama.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad