Baba Levo awachana Diamond na Alikiba “Kama hawataki kuelewana waendelee kugombana sisi tule hela zao”


Msanii na diwani wa kata ya MWANGA Ujiji Kigoma mjini Baba Levo ameongea akijivua kuwa mkoa wa Kigoma kuwa na vijana wenye vipaji lakini akiwashauri Ali Kiba na Diamond kuwa “waachane na tofauti zao waijenge Kigoma ila kama hawataki basi wavurugane sisi tupige pesa kwenye mashow yao “



Mbali na hilo amemtaka Peter Msechu kumlipa hela zake lakini amezungumzia kuhusu ugomvi uliodaiwa kuwepo kati ya Shilole na mume wake Uchebe


By Ally Juma.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad