Diva Hajamalizana na DIAMOND Bado, Azidi Kumchokonoa na Kudai Hajui Kuimba


"Nasikia Mwalimu Kashasha Kaanza Jipendekeza Kwa King Kiba baada ya kusikia ana Collabo na Rihanna , hio hadithi ngoma moja tu inabeba ngoma zako zote za kucopy wa nigeria , you don have yo own ID kaz kurukaruka tu kuimba hujui ujanja mwingi kona nyingi domo ka semitrela , umepaukaaaa ... shubamitiiii , Kiba ni Levels bebe ..

"Ali sio Mwenzio na Mwaka Huu utashinda sana vilingen na kuvuta...Ali hajikwezi hajitutumui , hatumii nguvu nyingi ... hatoi kiki, yan una 30 something kujiona mtoto akati Mzee Mwenzangu na Mwaka Huu Ali yan ni mwendo wa international collabo in 2020 , The King Stil Owning The Throne Panya wewe Kwanza Mwenzio kakuzid Kila kitu hadi six pak , mbavu mbili unalo hilo ... limekuganda , Bilionaire ushuzi umekwishaaa na Mwaka Huu Haturogeki 😂😂😂

"aya Imba Kama Alikiba tukuone bila janja janja ... yan My son Killy tu humuingii kuimba ata robo .. utaishia ai ai .. yaga bla bla , utaishia kurukaruka hivyo hivyo na viguu vyako spoku kama Vijiti vya kuwekea mishikaki ya Coco Beach... Nasema Na Hizi Collabo za 2020 shubamitiiii.... mtoto wako tu uliemlea mwenyewe anakupa uharisho .... utashinda sana vilingeni kukondeana kwansifa uongo na roho mbaya na mwaka huu Haturogeki" amefunguka Diva

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad