Global Radio Marekani: Tazama Helkopta Ilivyomuua Kobe Bryant – Video



KUFUATIA kifo cha mchezaji nguli wa mpira wa kikapu duniani aliyekuwa akikipiga kwenye Ligi ya NBA Marekani, Kobe Bryant (41), ambaye amefariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea jana huko mji wa Calabasas, California, Global TV Online na +255 Global Radio tupo eneo la tukio, nchini Marekani kukupasha habari kila kinachoendelea.


Katika ajali hiyo, Helikopta hiyo inadaiwa kuwa ilizunguka mara kadhaa angani kisha kuwaka moto kabla ya kuanguka na kuua watu wote watano akiwemo binti wa #KobeBryant, Gianna Maria Onore ‘Gigi’ (13).

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad