JE, Utajuaje Kama Mazungumzo Kupitia Simu yako Yanafuatiliwa? Soma Hapa



Fuata njia zofuatazo ili kujua kama kuna mtu anafuatilia mazungumzo kwenye Simu yako. Njia hii inatumika kwenye Simu janja (Smart Phone na zile za kawaida)
-
Anza kwa kupiga *#61# kisha bonyeza alama ya kupiga kama italeta majibu “FORWARDED“ basi ujue kuna mtu anafuatilia mazungumzo/ujumbe mfupi wa maneno unazotuma
-
Na iwapo itaonyesha neno “NOT FORWARDED” basi tambua kuwa uko salama katika mazungumzo na jumbe fupe unazozituma kupitia simu yako
-
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kufuatilia mazungumzo yako piga ##21# na utaondoa


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad