Nabii TITO Ageuza Kibao "Kwasasa Dini Yangu ni CCM"


"Ukitii amri za Serikali ni sawa na kutii amri za Mungu, naamini Mungu anaishi Ikulu Mimi Dini yangu ni CCM kanisa langu ni Serikali na Mungu wangu ni Raisi, CCM ni tunda la uzima imeandikwa ufunuo 22:2"-Nabii Titto.

Toa maoni yako kisha Share

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad