PICHA: Sauti Sol wapata shavu kwenye label ya Universal Music Group


NI Headlines  za kundi la muziki kutokea nchini Kenya, Sauti Sol ambao mapema leo asubuhi wamemaliza makubaliano na kusaini mkataba wa kufanya kazi na label kubwa iitwayo Universal Music Group.



Kwasasa Sauti Sol rekodi zao zitakuwa zikisimamiwa na Universal Music Group mpaka Album yao mpya inayotarajiwa kutoka mwaka huu  itakuwa chini ya Label hiyo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad