Rais Magufuli Kuwatengua Waziri Kingwangalla na Katibu Wake Endapo Hawatamaliza Tofauti zao


Rais Magufuli amewapa siku 5 za kutekeleza agizo hilo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda

Rais Magufuli amesema kama watashindwa kufanya hivyo atatengua teuzi zao

Akiwa katika Hifadhi ya Rubondo amesema, Katibu Mkuu hataki kumheshimu Waziri na Waziri hataki kwenda pamoja na Katibu Mkuu. Rais Magufuli amesema anawatazama taratibu

Ameongeza kuwa, hawezi kuwa na watendaji aliowateua yeye halafu kila siku wanagombana na mambo ndani ya Wizara hayaendi
18h
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad