TIMU ya Simba Yaufunga Mwaka 2019 Kwa Furaha Kubwa


Klabu ya Simba imefanikiwa kuufunga mwaka vizuri baada ya kuitandika Ndanda FC bao 2-0 katika dimba la Taila jijini Dar es Salaam.

Magoli ya Simba yaliwekwa nyavuni na Francis Kahata dakika ya 12 na Deo Kanda dakika ya 87.

FT: Simba SC 2-0 Ndanda FC
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad