VIDEO: Breaking News, Lugola atinga TAKUKURU kuhojiwa, abeba ilani ya CCM


Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya ndani Kangi Lugola leo majira ya saa moja na nusu kwa kwa saa za Afrika Mashariki amewasili katika ofisi za Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, Jijini Dodoma kwa ajiri ya kuhojiwa na Mamlaka hiyo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad