VIDEO: Mkwasa ailipua Simba, tuligundua madhaifu yao ''tumecheza na timu inayoongoza kupewa penati''


Kocha Mkuu wa Yanga SC, Charles Boniface Mkwasa amefunguka kuhusiana na mchezo wao dhidi Simba ambapo uliomalizika jioni hii ambapo amesema wametumia madhaifu ya wapinzani wao na ndio maana kipindi cha pili wamefanya vizuri

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad