Diamond Apanda Ndege Mpaka NAIROBI Kumtoa Out Tanasha Dona..Wambea Tumefungwa Midomo

Diamond na Tanasha watoka Out Dinner kwaajili ya kufurahia Mahaba yao ya Valentines Huko Naivasha Kenya , Hii imefunga watu mdomo waliokuwa wanadai wawili hawa wameachana hasa kutoka na tukio la Diamond Kukacha Uzinduzi wa EP ya Tanasha kwa Kizingizio cha Family Problem

Tazama Hapo Chini Kwenye Video Ujionee Mwenyewe..Comments za Wadau nimekuwekea hapo chini ya VIDEO



nancybbyface

Mond Hana Raha na Mama mfifio wa nyota


ellyjohary

Eti mambo hayo sitaki kwani unaiba mond


qureen_tz

Dai kwel unampenda tanasha mpaka Kenya salut


j.a.i.s.o.n_

Sema mond ana swaga kama za tiffah kbsa yan



ngonibarbershop

😢wenye hela bhana daaah

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad