Ajali za Ndege Zaendelea Kuitesa Dunia...Nyingine Hii Yaanguka na Kuuwa



Watu watatu wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuteleza na kuharibika vibaya wakati ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Sabiha Gokcen

Ndege hiyo kutoka Shirika la Pegasus yenye namba PC2193 ilikuwa na jumla ya abiria 183, iliteleza kwa umbali wa Mita 60 na kuwaka moto. Ndege hiyo iligawanyika katika vipande viwili

Waziri wa Afya, Fahrettin Koca amesema mbali na vifo hivyo, majeruhi takriban 179 wamepelekwa katika Hospitali tofauti

Ametaja chanzo cha ajali hiyo kuwa ni hali mbaya ya hewa
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad