Ebitoke atangaza kutaka kuwa Miss Tanzania 2020


Mchekeshaji Ebitoke ametangaza nia ya kugombania taji la Miss Tanzania mwaka 2020,kwa Kanda ya Ziwa.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram mchekeshaji huyo ameweka taarifa ya kugombania urembo huo baada ya kupost fomu ambayo ina picha yake ikionesha yupo tayari kushindania taji hilo.

"Ahsanteni sana mashabiki wangu kwa support mnayoendelea kunipa, napenda kuwajulisha rasmi tayari nimeshajaza fomu ya kushiriki Miss Tanzania kanda ya Ziwa 2020, nikiwakilisha Mkoa wangu wa Kagera na nimei-submit kwa wahusika, ni imani yangu kwamba nitafika mbali na nahitaji support yenu" ameandika Ebitoke

Taji hilo la urembo kwa sasa analishikilia Miss Tanzania 2019, Sylivia Sebastian.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad