Huyu Hapa Mwanamke Aliyetangaza Twitter Anataka Kuolewa Kwa Mahari ya Bilion 2

Mrembo huyo wa Nigeria kwa jina la Gbemi amejitosa twitter kueleza kuwa yeye kuolewa lazima mwanaume atoe mahari ya dola U$1 million sawa na zaidi ya billion 2 za Kibongo.
Yani kamwacha Diva mbali kwenye Dau

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad