Kambi Ya Kijeshi ya Marekani Iraq Yapigwa Tena Kombora



Kombora la aina ya Katyusha limeanguka kwenye kituo cha jeshi la Marekani katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa Iraq. 

Shambulizi hilo lilitokea Alhamisi jioni bila kusababisha kifo au majeruhi. 

Hata hivyo, kikosi cha polisi cha Iraq kilifanya msako eneo lilikorushwa kombora hilo, na kugundua kifaa cha kurushia makombora chenye makombora kumi na mbili, kombora moja tu likiwa limerushwa.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad