Kocha wa Simba afunguka baada ya ushindi wa leo



Kocha wa klabu ya Simba, Sven Vandenbroeck amesema kujituma kwa wachezaji wake  ndiyo siri ya ushindi wa leo huku akikiri kuwa uamuzi wake wa kuwaanzisha kwa pamoja John Bocco na Meddie Kagere umechangia kuwavuruga wapinzani wake.

FT : Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad