Kwa Nini Wanawake wa Kiislamu Hawautaki Tena Ukewenza?

Ndugu zanguni Qur'an ni kitabu kitakatifu pekee kinachoruhusu mwanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja yaani mwanaume anaweza akaoa mpaka wanawake wanne so long as anaweza kuwahandle. 

Lakini katika miaka ya hivi karibuni wanawake wa kiislamu wamekuwa hawataki kuwa mke wa pili, watatu ama hata wa nne. Pia hata yule mwanamke ambae tayari yupo kwenye ndoa akisikia kuwa mume wake ana plan ya kuoa mke wa pili nakuambia nyumbani hapatakalika visa vinaanza kwa kwenda mbele.

HIZI HABARI ZA HIVI ZINAPATIKANA UDAKU SPECIAL >>BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL

Swali langu ni kwamba, je ina maana wanawake wa kiislamu wameamua kupingana na maandiko yanayoruhusu hicho kitu ama je siku hizi kitabu hicho siyo mwongozo tena?
 ~By Bornagain
Tags

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Joto hasira,pesa hakuna, nguvu zenyewe hawana wa 4 mchezo utaishia kuwaweka ndani wakishiba michepuko ihusike kukusaidia..familia kubwa kumudu ni majanga ada nyumba bora..dunia ya sasa ni ngumu kuwamudu watakuua stress buree..

    ReplyDelete
  2. Pesa ipo na nguvu za kutomba mwanzo mwisho tunazo
    Swali kwamba kwa nini tuwe wa promo kila mwamke aone mboozetu?

    Tumestukaaa hapa mke mmoja tuu

    ReplyDelete
    Replies
    1. unapoongea mambo ya dini tumia lugha ya staha mbona misamiati ya kiswahili ni mingi sana, shame up on you

      Delete
  3. acha ujinga usijali imani isiyokuhusu.

    ReplyDelete
  4. Nataka kukuzindua mwandishi, Wewe ni mtafiti na ni muandish wa habari za kijamiii, na hii ni moja ya habari ya kijamii. lakini habari za ki imani ni bora kuawauliza wa husika kisha unaandika, kuliko kuruhusu wenye imani na wasiokua na imani kujadili jambo la imani.
    Wanawake wenye imani hawakatai kuolewa wanne kwa mume mmoja, ila huzingatiwa mwanaume ana vigezo vya kuoa?, kunawatu wameoa haliyakua hawana kigezo hata kimoja. aNakuthibitishia wanawake wenye kutambua sheria wapo na watendelea kuwepo hadi qiyama.

    ReplyDelete
  5. Hawawezi kutimiza masharti kwawake wote,huko Ku dooo majanga,hela hawana waone waarabu wa Dubai na wake zao.kama unahela nauhakika unauwezo wakutunza sawa bila upendeleo na uume Wako unachaji vizuri do it.ilawengi wanajishaua tu hawawezikitu.tuwaachie waarabu

    ReplyDelete
  6. kafiri ni kafiri tu, yani swali limekaa kikafiri kafiri, hata muulizaji ni kutaka kuleta istizahi sio kuuliza, acheni ukafiri halafu nyie ma admin mkumbuke picha yenu tunayo na tunawajua mkiendelea tutawafinyia kazi wala kwetu sio gumu hilo.

    ReplyDelete
  7. Siku zote makafiri(manasara aka wagalatia wanapenda kucheza na vyombo vya habar huu uislam Ni dini ya m/mungu ww sio wakwanza kujaribu au sio wa mwisho uislam upo palepale ww subili jahanamu yako

    ReplyDelete
  8. Laana mkubwa na nyie mnao halalisha ushoga

    ReplyDelete
  9. Nyinyi ndiyo mnaoamsha hisia za kidini kwa kukosa facts za kuandika kwenye blog zenu, hii nchi ina matatizo mengi ya kuandikwa ila umeona hili tu, sasa umefurahi jinsi watu wanavyo comment matusi na kuonyesha hisia zao za kidini........???

    ReplyDelete
  10. Asie jua maana haambiwi maana.... Allahuma nsuur ummat Muhammad

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad