Label Ya WCB imeshuka Kiuwezo, Baada ya Harmonize kutoka imebaki na wasanii local


Wcb Wameshuka sa kiuwezo kuna kipindi Walikua Wanatoa hit song kwa ushirikiano wa Harmonize na Diamond ilikua inatazamika kua inaenda kua Moja Lebo kubwa barani Africa.

Ila baada ya kutoka Harmonize Jamaa Wamebaki Local sana, Wanatoa Ngoma za Kawaida na Diamond ni kama Vile kaishiwa Idea ya kutunga ngoma kali na Kik,. Ni Wazi kua Harmonize na Rich mavoko walikua wakimsaidia sana kwenye kutunga nyimbo kwa kushare Idea.

Ukijumlisha na Uwezo Mdogo walionao Mameneja wake ndo kabisa hii lebo inaenda kupotea, Mameneja hawana ubunifu Wanategemea Kik na Mabifu ndo Yawabebe.

Rayvany
Mboso
Lavalava, Hawa ni wasanii ambao hawawezi kuibeba brand na kuipeleka kokote hawa ni Local na Kuwaangalia kiufundi zaidi hawa watabaki kua Local.

SOMA HABARI HIZI KIRAHISI KUPITIA APP YETU YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD HAPA

Rayvan katoa Ngoma 5 kwa kutaka kubahatisha kama anaweza kupatamo hit hata moja Ila hawezi ukweli ni kwamba zile ngoma na za kawaida zimekaa kiunderground

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad