Lipumba: Hatutasusia Uchaguzi Tena....Tutaweka Wagombea Kote Tanzania Bara na Visiwani



Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa pamoja na  Demokrasia Kuyumba  nchini lakini hawatasusia uchaguzi mkuu wa 2020, kama ilivyokuwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

Prof Lipumba ameyasema hayo leo Februari 29, 2020, wakati wa kuhitimisha ziara yake katika mkoa wa Morogoro, ambapo amefanya Mkutano wa ndani katika Jimbo la Morogoro Mjini.

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>
"Tutahakikisha tunakuwa na wagombea katika maeneo yote ya Tanzania bara na visiwani, kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge, Udiwani na uwakilishi kwa upande wa Zanzibar', ameeleza.

Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 24, 2019, CUF pamoja na vyama vingine vya siasa vilisusia uchaguzi huo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad