Msanii ROSA Ree Amkana Mwanamuziki TIMMY Dat Live...


Ukaribu wa Msanii Rosa Ree na Timmy Dat kutoka kenya unaonekana kupungua toka Video aliyoshirikishwa ya Vitamin U iwaletee Shida ya Rosa Ree Kufungiwa na Kulipa Faini ya Milioni mbili Basata

Ukaribu wao ulisababisha watu kufikiria kuwa wana mahusiano ya kimepenzi japo wenyewe wamekuwa wakikataa kuhusu hili, Baada ya ile Video Rosa Ree Alifuta picha zote za jamaa na kuacha kumpost kama tulivyozoea .

Sasa leo huko Instagram Rosa amepost picha yenye Caption 'Niulize Chochote Nitakujibu"

Katika Maswali aliyoulizwa Wengi wanauliza kama yupo kwenye uhusiano na Timmy Dat lakini Rosa Ree yote amejibu "NO" kuonesha kuwa ni hapana Hawana Mahusiano




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad