Rais Dkt Magufuli amteua Katibu Mkuu Kiongozi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, leo Februari 27, 2020, amemteua Balozi John Kijazi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ndege za Serikali (TGEA).


Ikumbukwe kuwa Balozi John Kijazi ni Katibu Mkuu Kiongozi.

Aidha Rais Dkt Magufuli amemteua Mhandisi Florian Kabaka kuwa Mwenyeki wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), uteuzi wa viongozi hao umeanza jana Februari 26, 2020.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad