Rwanda: Wanaharakati wataka uchunguzi wa kina kufuatia kifo cha Mihigo




Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yanataka serikali ya Rwanda kuruhusu uchunguzi huru na wa kina kuhusiana na kifo cha mwanamziki maarufu wa nyimbo za injili na maridhiano nchini humo, Kizito Mihigo.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad